Kwa miezi kadhaa chama cha Raila Odinga, ODM kili sisitiza kuwa hakiko serikalini wala hakina ushirikiano wowote na serikali ya Dkt Rutto.

Rais Rutto na Bw Odinga waliwasili katika ukumbi wa KICC, kutia saini makubaliano ya ushirikiano kati ya serikali ya Kenya Kwanza na chama cha upinzani cha ODM.
