1. Jikinge na kinga simu yako
Hakikisha unasimu yako kila mara. Kumbuka, kama simu yako haija fungwa na kama ime potea au imeibiwa, inaweza tumiwa kupata hela zako au kuiba utambulisho wako kwaku tumia taarifa ambazo ziko ndani ya simu yako.
https://www.staysmartonline.gov.au/mobile-devices
2. Kinga kompyuta yako

Source: Getty Images
Unaweza jikinga kwaku pata ushauri kutoka kwa wataalam wanao aminika, punguza idadi ya maneno ya siri unayo tumia na tumia kinga thabiti mtandaoni. Hifadhi data zako katika hali salama kila mara, na hakikisha wanao hifadhi data hizo wana idhini yaku fanya hivyo.
https://www.staysmartonline.gov.au/computers/secure-your-computers
3. Linda taarifa zako binafsi na siri zako

Source: Getty Images
Kinga taarifa zako za siri jinsi unavyo kinga hela zako. Mtu anaweza tumia utambulisho wako, kupata mikopo kwa jina lako, kutumia kadi zako za benki, kudai mafao ya ustawi na hali hiyo inaweza haribu uwezo wako wakupokea mikopo.

Source: Getty Images
4. Usichangie neno lako la siri
Tumia neno la siri laki pekee na usilichangie na watu wangine. Unaweza tumia mchanganyiko wa herufi, nambari zinazo zidi nane.

Concept stock photograph depicting Cyber Security theme, Thursday, April 28, 2016. Source: AAP/Dave Hunt
5. Hakikisha unatumia intanet salama
Intanet unayo tumia inaunganisha ulimwengu wa nje na kompyuta yako. Kama haija kingwa vizuri, mtu anaweza itumia kupata maelezo yako au kuiba kompyuta yako kwa ajili ya matumizi yake binafsi.

Source: Getty Images
Kama unaamini siri zako zime vujwa, wasiliana na ofisi ya taarifa ya Australia kwa msaada kupitia namba hii ya simu: 1300 363 992.
Unaweza tazama orodha ya tisho zaki sasa za intanet pamoja na maneno yanayo tumiwa mtandaoni kupitia tovuti ya stay smart online: www.staysmartonline.gov.au
Kwa makala ya ziada ya SBS Swahili kuhusu Mwongozo wa Makazi: tembelea tovuti hii: