'Kama tunamiliki tatizo, lazima tumiliki suluhu pia'

Waziri wa maswala ya ndani Peter Dutton adai, wakazi wa melbourne wana hofu kuenda migahawani  kwa sababu ya magenge ya vijana waki Afrika

Waziri wa maswala ya ndani Peter Dutton adai, wakazi wa melbourne wana hofu kuenda migahawani kwa sababu ya magenge ya vijana waki Afrika Source: AAP

Get the SBS Audio app

Other ways to listen

Viongozi wa jamii zawa Afrika wame kutana mjini Melbourne kujadili mbinu bora yaku kabiliana na swala la vurugu la vijana.


Wame sema tatizo hilo halita tatuliwa haraka na suluhu inahitaji rasilimali zaidi, kwa miradi inayo ongozwa na jamii na kupunguzwa kwa swala hili kutumiwa kisiasa.






Share