Tshisekedi alishinda kwa kishindo uchaguzi wa tarehe 20 Disemba, lakini uchaguzi huo uligubikwa na madai mengi ya udanganyifu, changamoto za kiufundi na kasoro nyingine.
Viongozi wawili wa upinzani, Martin Fayulu na Moise Katumbi pamoja na wapinzani wengine, waliomba uchaguzi mpya, ombi ambalo lilitupiliwa mbali na serikali.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.