Mwongozo wa makazi: mjadala wa matumizi ya mihadarati katika familia yako

Watu washikana mkono

Watu washikana mkono Source: pixabay public domain

Get the SBS Audio app

Other ways to listen


Takriban 15% ya vijana wenye umri wa miaka kati ya 12 na 17 wame vuta bangi; wakati mmoja kati ya vijana 50 wame tumia cocaine or amphetamines. Kwa wazazi wengi kutoka jumuiya zawahamiaji, wengi wao wanakumbwa na tatizo laku kabiliana na matumizi ya mihadarati.

Ushauri toka kwa wataalam kwa swala hilo, nikuwa mtulivu nakuto wahukumu.

 

 


Share