Ndoa za jinsia moja ziliharalishwa, Seneta wa chama cha Labor kujiuzulu kutokana na tuhuma za ushawishi wa Wachina na mgogoro wa Katiba ulitishia utawala wa Malcolm Turnbull.
Siasa za Australia mwaka huu

Maseneta wa sherehekea kupitishwa kwa muswada waku halalisha ndoa za wapenzi wa jinsia moja ndani ya seneti. Source: AAP
Share