1. Uhaba wa elimu kuhusu ugonjwa wa akili na dalili zake.
Katika baadhi ya jumuiya, mtazamo kuhusu ugonjwa wa akili unadhaniwa kuwa ni ugonjwa wa akili, ugonjwa wa akili, sehemu ya kawaida ya kuzeeka au hata kutokuwa na maana yoyote. Ugonjwa wa akili husababishwa na mchanganyiko wa magonjwa ya ubongo yanayo athiri kumbukumbu, jinsi yaku fikiria, tabia na uwezo waku fanya shughuli za kila siku.

Female doctor holding CAT scan Source: AAP
2. Mtazamo wa ugonjwa wa akili kama sehemu ya kawaida ya kuzeeka.
Katika baadhi ya jumuiya, ugonjwa wa akili huchukuliwa kama sehemu ya kawaida ya kuzeeka. Utambuaji waku chelewa kwa ugonjwa wa akili mara nyingi huja hali ikiwa tete, kwa sababu ya uhaba wa elemu kuhusu dalili za mapema, sehemu yaku pata msaada, kuona haya au kubandikwa jina.

Source: AAP
3. Unyanyapaa unao husishwa na ugonjwa wa akili
Watu wengi wahapendi kujadili ugonjwa huo kwa uwazi kwa sababu ya wasi wasi waku itwa 'wendawazimu'. Matokeo yake ni kwamba, huwa hawashiriki katika shughuli na watu wengine, au katika makundi yaki jamii.

Source: Public Domain/Pixabay
4. Matatizo ya mawasiliano yanayo sababishwa na viwango duni vya elimu katika Kiingereza.
Mtu anapo kabiliwa na ugonjwa wa akili, baadhi ya watu wanaweza poteza ujuzi wanao wakiingereza, hali ambayo huwalazimisha kutumia lugha zao za asili.

Source: Pedro Ribeiro Simoes CC BY 2.0
5. Dhana kuwa wagonjwa hu hudumiwa na familia zao.
Katika baadhi ya jumuiya kuna hisia kuwa familia au watoto wata wahudumia wazazi ambao wana ugonjwa wa akili. Hata hivyo, maadili yakitamaduni yanapo changanywa na maadili mapya ya Australia, hali halisia kwa wazee wengi inabadilika.

Source: Getty Images
Huduma za ushauri zinaweza patikana kwakupigia simu, huduma yaki taifa ya ugonjwa wa akili. Namba yao ni: 1800 100 500.
Kama unahitaji mkalimani, unaweza wasiliana na huduma yaki taifa ya ugonjwa wa akili kupitia simu. Pigia huduma ya wakalimani kwa simu ama TIS kwa ufupi. Namba yao ni: 131 450.
More on dementia
Mwongozo wa Makazi: Huduma ya wahamiaji wenye ugonjwa wa akili