Wakati huo huo nchini Australia, vijana kutoka jamii yawakenya wame andaa mechi yaku hamasisha amani katika uchaguzi mkuu. Mechi hiyo itafuatwa na ibada maalum ya maombi pamoja na viburudisho.
Wakenya nchini Australia waombea uchaguzi mkuu wa amani
Bango la maombi ya uchaguzi mkuu wa Kenya Source: Picha: Swazz Damu
Ina salia siku chache kwa uchaguzi mkuu nchini Kenya kufanywa, wagombea wame zunguka nchini kote waki uza sera zao.
Share