Muda una anza kuwa adui wa baadhi ya wagombea wa uchaguzi mkuu, kuuza sera zao kubwa baada ya wa Australia kuanza kupiga kura zao katika uchaguzi mkuu wa shirikisho.
Mazungumzo kati ya serikali ya DRC na waasi wa AFC/M23 yanaripotiwa kuendelea jijini Doha nchini Qatar. Licha ya vyanzo kutoka katika muungano wa waasi wa AFC/M23 na upande Joseph Kabila kuripoti kwamba rais huyo wa zamani wa DRC alitembelea Goma Ijumaa ya wiki hii, Marekani inasema inaendelea na juhudi zake kupunguza mzozo wa sasa.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.