Bw Xenophon ametangaza kuwa ata kuwa mgombea katika uchaguzi wa Kusini Australia mwaka ujao.
Nick Xenophon ajiondoa katika bunge la taifa

Seneta Nick Xenophon akiwa mjini Adelaide baada ya tangazo lake Source: AAP
Seneta Nick Xenophon amekana madai kuwa ame ondoka katika siasa zaki taifa kwa sababu ya mgogoro wa kesi za uraia pacha.
Share