Wakazi katika maeneo ya kanda ya Australia, wataka serikali iongoze idadi yawakimbizi wanako ishi

Wanaharakati wanao tetea haki za wakimbizi katika maeneo ya kanda ya Australia

Wanaharakati wanao tetea haki za wakimbizi katika maeneo ya kanda ya Australia Source: rar

Shirika la watetezi wa wakimbizi la kandani, lime sema kuna ongezeko la watu wanao wakaribisha wakimbizi katika jamii za kandani.


Shirika hilo ni moja kati ya mashirika sita ya wanaharakati, yanayo ihamasisha serikali iongeze idadi ya wakimbizi inayo pokea.


Share