Zaidi ya vitabu: Jinsi maktaba hujenga jumuiya

State Library Victoria

Credit: State Library of Victoria

Maktba za umma za Australia ni mahali maalum. Ndio, huwa zina kuruhusu ukope vitabu bure ila pia, zina toa utajiri wa miradi na huduma, bure pia na hukaribisha kila mtu, kutoka watoto wachanga hadi wazee.


Leo tuta tazama huduma pana ambazo, maktaba za umma hutoa nchini Australia.

Kote nchini Australia, maktaba za umma ni mwenyeji wa zaidi ya vitabu milioni 40 ambavyo vime andikwa katika Kiingereza na lugha zingine ila, jukumu lao ni zaidi yaku kopa.

Katika msingi wake, maktaba zina husu mahusiano.

Share