Sean MMG "mitandao yaki jamii imefanya iwe rahisi kwa vijana kama sisi kutokea katika muziki"

Sean MMG, Ssaru na Tipys Gee nje ya Studio ya SBS Audio.JPG

Wasanii maarufu kutoka Kenya; Sean MMG, Ssaru na Tipsy Gee walitembelea studio yet hivi karibuni wakati wa ziara yao ya Australia.


Katika mazungumzo na SBS Swahili, Sean MMG alifunguka kuhusu nafasi ya vyombo vya habari vya kitamaduni kusambaza kazi za wasanii.

Alifunguka pia kuhusu jinsi mitandao ya kijamii ya kisasa, imewafungulia milango wasanii chipukizi ambao kawaida kazi zao huwa hazi chukuliwei na vyombo hivyo vya habari vya kitamaduni.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share