Sudan na Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE leo zitapambana katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki, ICJ, huku Sudan ikiishtumu UAE kwa kuvunja Mkataba wa UN wa Mauaji ya Kimbari kwa madai ya kuwaunga mkono wapiganaji waasi.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.