Taarifa ya Habari 10 Aprili 2025

Bench - Swahili.jpg

Uamuzi wa Donald Trump kuregeza ushuru kwa nchi kadhaa, hauta athiri moja kwa moja Australia ila, uamuzi huo unaweza fungua mlango kwa mazungumzo ya ziada na marekani.


Sudan na Umoja wa Falme za Kiarabu, UAE leo zitapambana katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki, ICJ, huku Sudan ikiishtumu UAE kwa kuvunja Mkataba wa UN wa Mauaji ya Kimbari kwa madai ya kuwaunga mkono wapiganaji waasi.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share