Washindi wa tuzo walitangazwa katika sherehe ya tuzo hizo, ndani ya bunge la taifa mjini Canberra wiki hii.
Mtangazaji wa SBS Pema Dolkar, alipewa tuzo kwa mafanikio yake katika utangazaji, kupitia makala aliyo fanya kuhusu mradi, wakujifunza kuogelea wa jamii yawa Tibet.