Ni mara ya kwanza katika zaidi ya miongo mbili, Australia ime unga mkono pendekezo hilo ndani ya Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa.
Idadi ya majeruhi inapo endelea kuongezeka katika vita mjini Gaza, msimamo wa Australia unabadilika kwa hoja ya Palestine kuwa nchi huru.
Mara ya mwisho Australia ilipiga kura kuunga mkono Israel kuondoka katika maeneo yawa Palestina ilikuwa katika mwaka wa 2001.
Tangu wakati huo, Australia ilikuwa ime amua kuto piga kura- hadi sasa.