Bw Chumba "tukishikana mikono itatupa urahisi kufanya vitu vikubwa pamoja"

Bw Gilbert Chumba, Katibu Mkuu wa Jumuiya yawa Kalenjin wa NSW akitoa hotuba..jpg

Viongozi wa Jumuiya yawa Kalenjin wanao ishi New South Wales wanajiandaa kuwasilisha vyeti vya usajili wa Jumuiya kwa wanachama wao jioni ya Ijumaa 20 Disemba 2024.


Bw Gilbert Chumba ni Katibu Mkuu, wa Kalenjin Community Association and Welfare. Katika mahojiano na SBS Swahili alifunguka kuhusu maandalizi ya hafla wanayo waandalia wanachama, umuhimu wakuwa mwanachama pamoja na kile ambacho wanachama wanastahili tarajia kutoka hafla hiyo pamoja na viongozi husika.

Kwa mawasiliano na viongozi au wanachama wa jumuiya hiyo tembelea mitandao yakijamii: Kalenjin Community Association and Welfare.

Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.

Share