Canberra: Tathmini ya wiki hii 29 Juni 2018

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull, aondoka bungeni baada ya muda wa maswali na majibu

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull, aondoka bungeni baada ya muda wa maswali na majibu Source: AAP

Serikali ya taifa ime maliza kikao cha mwisho cha bunge, kabla ya mapumziko ya majira ya baridi, licha yakuto wasilisha muswada muhimu wa kodi.


Wakati huo huo kiongozi wa upinzani, naye amejipata chini ya shinikizo wakati vyama vikubwa vina anza kampeni kubwa ya chaguzi ndogo za mwezi ujao.

 

 


Share