Hata kama serikali ilifanikiwa kupata ushindi katika dakika za mwisho kabla ya bunge kufungwa, si kila mtu aliye ridhika na jinsi wiki hii ilivyo kamilika katika bunge la taifa.
Kuna vikao sita tu vya bunge ambavyo vimeratibiwa katika mwaka wa 2019, kabla ya uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanywa mwezi Mei.