Mrithi wa wadhifa wake ni Scott Morrison, naye anakabiliwa kwa mtihani waku elezea uamuzi wa mbinu zake za usafiri.
Canberra: tathmini ya wiki 9 Novemba 2018

Bendera ya Australia ya pepea juu ya bunge la taifa Source: AAP
Wiki hii Malcolm Turnbull alizungumza hadharani kwa mara ya kwanza tangu alipo ondolewa mamlakani kama waziri mkuu wa taifa mwezi, akisema kwamba bado hajui kwanini alivuliwa wadhifa wake.
Share