Dkt Benedict ni mzawa wa Tanzania nani daktari wa binadam, na kama wanafunzi wengine wakimataifa alikuwa akiendelea na shughuli zake za elimu yajuu nchini Australia, janga la COVID-19 lilipo lipuka nchini Australia.
Dr Benedict "COVID-19 imeleta umasikini nakuvunja familia"

Dr Benedict, akiwa nje ya chuo chake cha Western Sydney Source: SBS Swahili
Australia hupokea makumi yamaelfu yawanafunzi wakimataifa kila mwaka, kutoka duniani kote.
Share