Faida na hatari zaku nunulia bidhaa mtandaoni

Internet crime and electronic banking security

Stealing a credit card through a laptop concept for computer hacker, network security and electronic banking security Source: Getty / Getty Images

Hatakama kuemelea mtandaoni huwapa watumiaji faida kama, urahisi na punguzo, ila hatua hiyo pia huja na hatari nyingi.


Ingawa wauzaji wengi halali wa mtandaoni hukusanya data zawatumiaji, walaghai nao wanachukua fursa ya ongezeko ya biashara ya mtandaoni, kuwalenga wa Australia ambao wako katika mazingira magumu.

Ingawa si lazima kuwasiliana na polisi, wakati mwingine kufanya hivyo kunaweza saidia, haswa kama mlaghai yuko nchini Australia.




Share