Waziri wa maswala yakigeni wa Kenya Dr Alfred Mutua, alikuwa miongoni mwa wageni walio zungumza kwenye mkutano huo.
Punde baada ya mkutano huo SBS Swahili ilizungumza na baadhi ya wadau walio jumuika katika mkutano huo, ambapo walifunguka kuhusu baadhi ya kero zao pamoja na kutoa pendekezo kadhaa.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.