Sheria hizo mpya zita anza kutumiwa Julia mosi ila, kuna hatua ambazo zime chukuliwa tayari kusitisha mageuzi hayo bungeni.
Serikali yafuta kipunguzo cha ada ya ombi la uraia kwa wastaafu

Waziri wa maswala ya nyumbani wa Australia Peter Dutton akiwa katika mkutano. Source: AAP
Serikali ya Turnbull imesitisha msaada ulio wapa ma penshena wenye matatizo ya fedha afueni wanapo omba uraia wa Australia.
Share