Serikali ya regeza masharti ya viza kwa wafanyakazi wakigeni katika sekta ya kilimo

wafanyakazi wa msimu katika kiwanda cha matunda

wafanyakazi wa msimu katika kiwanda cha matunda Source: AAP

Serikali ya shirikisho imesema itaregeza masharti, kwa wafanyakazi wa kigeni wanaofanya kazi mashambani, ikiwa ni sehemu muhimu ya kumaliza tatizo la uhaba wa wafanyakazi hao.


Shirikisho la Taifa la Wafanyakazi, ambalo huwakilisha wakulima nchini, limekaribisha mabadiliko hayo, lakini Umoja wa Wafanyakazi Australia, umeonyesha wasiwasi wake juu ya mageuzi hayo, wakidai kuwa, yanaweza sababisha unyonyaji zaidi kwa wafanyakazi wa kigeni.


Share