Hezron "Tuwe na mazoea ya kujuliana hali"

Mgeni wa heshima Bw Thomas K Boor (kushoto), akiwa pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Kalenjin wa NSW Bw Hezron Baranga (kulia).jpg

Mgeni wa heshima Bw Thomas K Boor (kushoto), akiwa pamoja na Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Kalenjin wa NSW Bw Hezron Baranga (kulia).jpg

Mwenyekiti wa Jumuiya yawa Kalenjin wanao ishi mjini Sydney, New South Wales Bw Hezron Baranga, ali andaa mkutano maalum wa wanaume wa jumuiya yake kwa lengo lakujuliana hali nakupanga malengo ya mwaka.


Bw Thomas K Boor alikuwa mgeni wa heshima katika mkutano huo, alichangia uzoefu wake pamoja nakutoa ushauri kwa wanaume walio hudhuria mkutano huo.
Baadhi ya wanaume kutoka jumuiya yawa Kalenjin wa NSW walio hudhuria kikao kilicho simamiwa na Bw Thomas K Boor.jpg

Kwa upande wake, Bw Hezron Baranga, alisisitiza umuhimu wakuwa na mazoea ya kujuliana hali mara kwa mara, hasa kwa wanajumuia wanao ishi peke yao.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share