Jinsi Australia inawapokea wanafunzi wakimataifa

University representatives hold signs as international students arrive at Sydney Airport in Sydney.

Mwakilishi wa chuo akiwa na bango linalo wakaribisha wanafunzi wakimataifa, katika uwanja wa Sydney, Australia. Source: AAP

Australia imefungua tena milango yake kwa wanafunzi wakimataifa, baada ya takriban miaka mbili ya vizuizi vya mipaka.


Hivi karibuni serikali ilitangaza baadhi ya hatua zakuregeza vizuizi kwa watu wenye viza za wanafunzi, baada yakuregezwa kwa mipaka kwa ajili yakurahisisha mchakato wakurejea kwa wanafunzi wakimataifa nchini Australia.

Wasafiri wote wanastahili tii masharti katika jimbo au wilaya wanamo wasili, na jimbo au wilaya nyingine ambako wanapanga kusafiri.

Kwa taarifa zaidi tembelea tovuti ya Idara ya maswala ya nyumbani, anwani yao ni: covid19.homeaffairs.gov.au/international-students


Share