Jinsi ya kukabiliana na unyanyasaji shuleni au mtandaoni

School bullying

Student being bullied at school Source: Getty

Kutoa mazingira salama na jumuishi ni dhamira ya msingi ya kila jumuiya ya shule ya Australia. Ila wazazi wanastahili fanya nini mtoto wao anapo nyanyaswa shuleni?


Na ni hatua gani wana stahili chukua kama unyanyasaji huo unafanyika mtandaoni?

Kusaidia kujibu maswali haya, tume waomba wataalam katika elimu, saikolojia na unyanyasaji wa mtandaoni majibu kwa ushauri na maarifa ya hivi karibuni.

Tabia ya unyanyasaji huja katika umbo tofauti na viwango vya madhara. Bila kujali hali, wataalam wamesema haistahili chukuliwa kirahisi.

Jisajili au fuata makala yaliyo rekodiwa ya Australia yafafanuliwa kwa taarifa muhimu na, vidokezo kuhusu kuanza maisha yako mapya nchini Australia.

Je una swali lolote kuhusu, au pendekezo ya mada? tutumie barua pepe kwa: [email protected]

 


Share