Jukumu la Ufalme wa Uingereza ni nini nchini Australia?

King Charles III London.jpg

(From left to right) Britain's Prince William, Camilla, the Queen Consort, King Charles III and Lord President of the Council Penny Mordaunt and Privy Council members are in the Throne Room during the Accession Council at St James's Palace, London.

Australia inadumisha uhusiano rasmi nawa hisia na ufalme wa Uingereza, kama urithi wa ukoloni wa Uingereza.


Kinyume chake ni Kisiwa cha Caribbean cha Barbados kilicho ondoa ufalme wa Uingereza kama kiongozi wa taifa, nakuwa jamuhuri Novemba 2021.

Kifo cha Malkia Elizabeth II akiwa na miaka 96, 8 Septemba 2022 kime zua swali kuwa: Jukumu la ufalme wa Uingereza katika Australia yakisasa ni nini?

Kama Australia inakuwa jamuhuri, tunaweza chagua kusalia ndani ya Jumuiya yamadola. Kwa mfano India imefanya pia. Kwa hiyo, jamuhuri ya Australia inaweza fananaje? Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share