Bi Bishop amesema hatawania kiti chake cha ubunge cha Curtin jimboni Magharibi Australia, katika uchaguzi mkuu ujao.
Bi Bishop amesema ana amini serikali ya mseto ita shinda uchaguzi mkuu wa shirikisho bila msaada wake.
Mbunge wa Curtin, Julie Bishop atangaza kuwa hata wanaia uchaguzi mkuu ujao Source: AAP
Bi Bishop amesema ana amini serikali ya mseto ita shinda uchaguzi mkuu wa shirikisho bila msaada wake.
SBS World News