Wengi wao wamepoteza ajira zao, hali ambayo ime waweka hatarini kukosa hela zakutosha kulipa karo katika taasisi wanako somea.
KISWA: "Wanafunzi wakimataifa wapewe msamaha wakutolipa karo"

Bi Tabitha, Mwenyekiti wa KISWA Source: SBS Swahili
Janga la COVID-19 limewaathiri sana wanafunzi wakimataifa kote nchini Australia, janga hilo limesababisha changamoto nyingi pia kwa familia za wanafunzi hao katika nchi zao za asili.
Share