Mahakama yasema mipango ya serikali ya Uingereza kwa waomba hifadhi ni kinyume cha sheria

Migration Britain

A group of people thought to be migrants are brought in to Dover, Kent, onboard a Border Force vessel following a small boat incident in the Channel, England, Monday March 6, 2023. The British government said Monday it will introduce legislation to ban anyone who arrives in the U.K. in small boats across the English Channel from ever settling in the country. (Gareth Fuller/PA via AP) Credit: Gareth Fuller/AP

Mpango wa serikali ya Uingereza waku wapeleka waomba hifadhi Rwanda, ume patwa kuwa ni kinyume ya sheria na mahakama moja mjini London.


Wakitangaza uamuzi wao, mahikimu watatu wa mahakama ya rufaa wame amua kuwa Rwanda haiwezi zingatiwa kama nchi ya tatu salama kwa waomba hifadhi.

Uamuzi wa mahakama umekaribishwa na makundi ya haki za binadam pamoja namashirika mengine, si tu nchini Uingereza ila kote duniani, Australia ikijumuishwa.

Share