Asilimia kubwa ya wakenya ambao wako nchini Australia ni wanafunzi wakimataifa, ambao wanapata elimu katika taasisi mbalimbali kote nchini.
Tulipozungumza na baadhi ya wakenya hao kwenye sherehe za siku ya Mashujaa walifunguka kuhusu mipango yao pamoja na malengo yao.
Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.