Ni mhimu kuweza kuelewa sifa zakidini na kitamaduni za jamii zenye tamaduni na lugha tofauti, hali ambayo husaidia mshikamano zaidi katika jamii.
Moja ya mazoea haya ni mfungo wakidini, ambao hufanywa na dini nyingi tofauti. Katika makala haya, tuta chunguza jinsi mfungo wakidini unavyo athiri afya ya mwili, nakama kunaweza kuwa manufaa yoyote.