Sherehe hizo zina hudhuriwa kote nchini Australia pia ambako, Bw Peter Wangengi yuko katika mustari wa mbele waku hakikisha jumuiya yawakenya wanao ishi Victoria wana chaguzi kadhaa ya matukio yaku hudhuria.
Katika mazungumzo maalum na SBS Swahili Bw Peter aliweka wazi alivyo andalia wana jumuiya wenza katika siku ya sherehe za Mashujaa wao.
Bonyeza hapo juu kwa mahojiano kamili.