Wanasiasa wakutana kujadili ongezeko la watu nchini

Msongamano wa watu mtaani

Msongamano wa watu mtaani Source: AAP Image/Dean Lewins

Serikali ya shirikisho imekutana na weka hazina wamajimbo na mikoa, kujaribu kusaidia kutatua tatizo la kusimamia idadi ya watu nchini Australia.


Ni swala muhimu ila, ni hoja ambayo nika inamaswali mengi sawa vile ina majibu mengi pia.

Wakati hata serikali ya shirikisho ikiwa na uwekezaji mdogo na, mahitaji ya uhamiaji ya serikali za majimbo na mikoa ikitarajiwa kuendelea, ni ubishi ambao unatarajiwa kuendelea kwa muda mrefu.


Share