Katika hotuba hotuba kwa taifa iliyorushwa kwa njia ya televisheni, Tshisekedi amewahimiza vijana kuingia jeshini akisema wao ndiyo wanabeba dhima ya ulinzi wa Kongo.
Hata hivyo, kundi la waasi wa M23 limesonga mbele kwenye uwanja mwingine wa mapambano huko mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, kwa kuteka wilaya mbili katika jimbo la Kivu Kusini, vyanzo vya eneo hilo vimeiambia AFP Jumatano.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.