SBS Swahili Mubashara 13 Machi 2022

Chumba cha matangazo ya redio

Chumba cha matangazo ya redio Source: Getty

Unaweza sikiza makala ya Idhaa ya Kiswahili ya SBS, yanayo peperushwa kati ya saa kumi na mbili na saa moja kila usiku wa Jumanne bila matangazo au miziki.


Katika makala ya leo kuna:

  • Taarifa mpya za habari

  • Taarifa mpya kutoka sehemu kadhaa za bara la Afrika, mubashara kutoka studio zetu za Nairobi, Kenya.

  • Makala kuhusu umuhimu wakuwa na ujuzi wakuogelea nchini Australia.

  • Uchambuzi kuhusu masaibu yakisiasa na uchumi yanayo ikumba timu ya Chelsea FC nchini Uingereza.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share