Taarifa ya habari 01 Septemba 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS Swahili
Utafiti mpya unaonyesha Waaustralia wengi watapata chanjo ya COVID-19 ikiwa moja itapatikana, Bajeti ya New South Wales iliyoahirishwa imepangwa kutolewa tarehe 17 Novemba na Jamii zinazoishi karibu na mpaka wa New South Wales na Victoria zitafurahia vikwazo vya kusafiri kulegezwa kuanzia Ijumaa tarehe [4 Septemba].
Share