Na wale wanaotalikiana kwa kawaida walikua wameoana kwa miaka tisa au chini ya hapo
Mwongozo wa makazi: Jinsi yakupata talaka nchini Australia

Source: Getty images
Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Australia unaonesha kuwa watu walio katika umri wa kati ya miaka 20 ndio wana uwezekano mkubwa wa kutalikiana wakifuatiwa na walio katika umri wa mwishoni mwa miaka 40.
Share