Kiongozi wa New South Wales amesema serikali yake imechukua hatua zaku shughulikia ongezeko ya visa vya unyanyasaji wakijinsia ndani ya jumuiya, katika jibu la kifo cha mwanamke wa miaka 19 katika mwezi wa Machi.
Polisi Tanzania wameizingira nyumba ya Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani, Chadema, Tundu Lissu na Makamu Mwenyekiti wake, John Heche, wakati shauri la kupinga kusikilizwa kwa kesi ya Lissu kwa njia ya mtandao. Wakati hayo yakijiri kesi hiyo imeendelea kwa njia ya mtandao huku wanahabari wakizuiwa.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.