Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, zinalenga kupata mkataba kufikia tarehe 2 mwezi Mei, utakaosaidia kurejesha tena uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili ulioyumba, kutokana na utovu wa usalama Mashariki mwa DRC.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.