Taarifa ya Habari 28 Aprili 2025

Bench - Swahili.jpg

Waziri Mkuu Anthony Albanese ametumia ziara katika shirika linalo toa makaazi ya jumuiya katika eneo la Central Coast jimboni, New South Wales kutangaza ahadi ya uchaguzi yenye thamani ya $20 milioni kwa kituo kipya cha kuondoa kiwewe cha wanawake na watoto.


Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, zinalenga kupata mkataba kufikia tarehe 2 mwezi Mei, utakaosaidia kurejesha tena uhusiano wa kidiplomasia kati ya nchi hizo mbili ulioyumba, kutokana na utovu wa usalama Mashariki mwa DRC.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa zaidi.

Share