Waziri huyo ameongezea kuwa ujuzi mdogo wa kiingereza husababisha uwepo wa fursa ndogo zaku ajiriwa.
Huduma za misaada ya makazi za tetea mkusanyiko wa jamii zawahamiaji

Alan Tudge waziri wa uraia na tamaduni mbali mbali Source: AAP
Waziri wa maswala ya uraia na tamaduni mbali mbali wa Australia, amesema hatua za ziada zinastahili chukuliwa kuwasaidia wahamiaji kujumuika katika maisha ndani ya jamii.
Share