Viongozi wa jamii mbali mbali nchini Australia wameweka mikakati yakuwanusuru, wanachama wa jamii zao dhidi ya janga la coronavirus ambalo linaendelea kusababisha uharibifu mkubwa duniani kote.
Shirika la Kenya Community Victoria, linajiandaa kutoa misaada mbalimbali kwa wakenya wanao ishi jimboni Victoria watakao athirika na COVID-19.