Waziri Mkuu Anthony Albanese amekaribisha majimbo yote na wilaya zote, baada mamlaka hizo kutia saini makubaliano ya uwekezaji wa shule ya Serikali ya shirikisho.
Wakuu wa nchi toka jumuiya ya Afrika Mashariki na ile ya maendeleo ya kusini mwa Afrika, SADC, watakutana hivi leo kwa njia ya mtandao, kujadiliana kuhusu hali inayoendelea mashariki mwa nchi ya Jamuhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.
Vijana nchini Kenya, Jumatatu waliandamana nje ya jengo ambalo mahojiano ya kumteua mwenyekiti mpya wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka nchini (IEBC) yalikuwa yakiendelea huku wakidai kuwa baadhi ya walioteuliwa walikuwa wazee.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.