Taarifa ya Habari 24 Disemba 2024

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Waziri Mkuu Anthony Albanese ametupilia mbali tathmini ya upinzani kuwa amefeli kwa swala la uhamiaji, wakati ripoti za mihadarati kama heroin, methamphetamine na fentanyl kuingia katika vizuizi vya uhamiaji vya Australia.


Zaidi ya wazima moto 100 wataalam kutoka majimbo tofauti wame tumwa kusaidia jimboni Victoria, ambako maandalizi yana endelea kwa mazingira hatari zaidi ya moto tangu tukio la black summer la 2019–20. Timu hizo zimetoka New South Wales, the ACT, Queensland na Tasmania.

Bonyeza hapo juu kwa taaarifa zaidi.

Share