Taarifa ya habari 26 Julai 2020

Bango la taarifa ya habari la SBS

Bango la taarifa ya habari la SBS Source: SBS

Serikali yashirikisho yakabiliwa kwa ukosoaji mkali kuhusu inavyo simamia maswala yakudorora kwa uchumi.


Idadi ya maambukizi ya virusi vya Corona kote duniani imepindukia milioni 16 kufikia leo Jumapili.

Katika ibada takatifu ya kuaga mwili wa rais wa zamani wa Tanzania Benjamini William Mkapa inayofanyika jijini Dar es salaam Tanzania, Familia yake imethibitisha kuwa alifariki kwa mshituko wa moyo.

Rwanda imetangaza kukubali mtu asiye na uraia wa taifa lolote kwa sababu za kibinamu Adham Amin Hassoun ambaye alihamishwa kutoka Marekani baada ya kukamilishi hukumu yake jela.

 


Share