Taarifa ya Habari 31 Disemba 2024

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili

Bango la taarifa ya habari la SBS Kiswahili Source: SBS / SBS Swahili

Kikundi cha magari cha N-R-M-A kina omba tume ya ushindani na watumiaji ya Australia, ifanye uchunguzi wa haraka kwa madhara mabaya ya mizunguko ya bei bei ya petroli katika miji mikubwa ya Australia.


Mwaka mpya utakuja na mabadiliko mengi kwa sera na malipo ya serikali kwa zaidi ya idadi yawa Australia milioni. Kuanzia Januari 1, kutowalipa wafanyakazi mshahara wakutosha kutakuwa rasmi uhalifu, wakati wapokeaji wa malipo ya ustawi wata shuhudia ongezeko la hela zaidi katika akaunti zao za benki.

Polisi katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi imewafurumusha kwa mabomu ya machozi na kuwatawanya waandamanaji, waliokuwa wakiandamana Jumatatu dhidi ya kile wanachosema kuongezeka kwa wimbi la utekaji nyara.

Share