Taarifa ya Habari 7 Aprili 2025

Bench - Swahili.jpg

Waziri Mkuu Anthony Albanese amesema serikali ya shirikisho ina wasiwasi kuhusu athari za msukosuko wa kifedha, kufuatia ushuru wa marekani ulio tangazwa mwaka jana na jinsi hali hiyo ina wa athiri wa Australia.


Ujumbe wa serikali ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo umekutana kwa mazungumzo na waasi wa M23 mjini katika jitihada za kufikia makubaliano ya kusitisha mapigano katika eneo la mashariki mwa nchi hiyo.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.


Share