Miji ya kandani na vijijini, yapata msaada kuwavutia wahamiaji

kijiji cha Rupanyup, jimboni Victoria

baadhi ya maduka katika kijiji cha Rupanyup, jimboni Victoria Source: Google

Kifaa kipya kime undwa kwa ajili yakusaidia kuwavutia wafanyakazi ambao ni wahamiaji katika maeneo ya kikanda na vijiji.


Kifaa hicho ambacho kimetengezwa na taasisi ya kikanda ya Australia kwa ufupi RAI, kina lengo lakusaidia miji ya kandani kujaza penga za ujuzi nakufanya iwe rahisi kwa wahamiaji kuishi kandani.

 


Share